Lyrics

marioo ft jux only you lyrics

VERSE 1

Ikitokea sijalala nimekosa usingizi hata moyo wa kula sina

Ikitokea nna amani moyoni nna amani hata moyo wak kula sina

Talk to me my love talk your love medicine to me yani dawa

You are the only one for me we ndo tamu yangu

Me chochote we niambie ni sawa (sawa)

Vitu vyote vizuri kwenye dunia

Wabaki navyo waniachie wewe my wangu (my wangu)

Wapo wengi wazuri kwenye hii dunia

Ila siwataki uliye kwenye moyo wangu

CHORUS

Only you only you only you only you

We ndo nakupenda (only you)

VERSE 2

Hata waseme umeniroga kwangu mi sioni ubaya

Vile nimepagawa kwako we kama umeniroga

Acha waseme mi muoga bado sioni mbayaa

Nahofia bila wee baby umeniroga

Oooh mama moyo wangu nitekee

Usiniachee mpweke utaniumiza

Oooh mama moyo wangu mtekee

Usiniache mpweke utaniumiza

Vitu vyote vizuri kwenye dunia wabaki navyo

Waniachie wewe my wangu Wengi waazuri kwenye dunia

Ila siwataki uliye ndani ya moyo wangu

CHORUS

Only you only you only you only you

We ndo nakupenda (only you)

READ ALSO :  The Scientist Lyrics

Leave a Reply

Back to top button