Lyrics

Sheddy – Salama Rohoni Lyrics

Sheddy – Salama Rohoni Lyrics

Lyrics

Comments

[verse 1]

Nionapo amani kama shwari

Ama nionapo shida

Kwa mambo yote umenijulisha

Ni salama rohoni mwangu

[chorus]

Salama rohoni,

Ni salama rohoni mwangu

[verse 2]

Ingawa shetani atanitesa

Nitajipa moyo kwani

Kristo ameuona unyonge wangu

Amekufa kwa roho yangu

[chorus]

Salama rohoni,

Ni salama rohoni mwangu

[verse 3]

Dhambi zangu zote wala si nusu

Zimewekwa msalabani

Wala sichukui laana yake

Ni salama rohoni mwangu

[chorus]

Salama rohoni,

Ni salama rohoni mwangu

[verse 4]

Eh Bwana himiza siku ya kuja

Parapanda itakapolia

Utakaposhuka sitaogopa

Maana ni salama rohoni mwangu

[chorus]

Salama rohoni,

Ni salama rohoni mwangu

READ ALSO :  Hey There Delilah Lyrics

Leave a Reply

Back to top button