timbulo ft baraka da prince lyrics
Wakati nalainisha moyo kupenda sio kama ninakosea Ipo sababu ya mimi kurejesha namba ambayo ilipotea Hqali ya mtoto kumsusa mama akishachapwa Ni sawa na mapenzi Ukishapendwa Unasahau hata kama ulishafanyiwaga ushenzi Nakumbuka nilijuta sana kupenda kupenda kusikokua na thamani Ila hitaji la moyo lalazimisha kurudia zamani
Wakati nalainisha moyo kupenda sio kama ninakosea Ipo sababu ya mimi kurejesha namba ambayo ilipotea Hqali ya mtoto kumsusa mama akishachapwa Ni sawa na mapenzi Ukishapendwa Unasahau hata kama ulishafanyiwaga ushenzi Nakumbuka nilijuta sana kupenda kupenda kusikokua na thamani Ila hitaji la moyo lalazimisha kurudia zamani
Wakati nalainisha moyo kupenda sio kama ninakosea
Ipo sababu ya mimi kurejesha namba ambayo ilipotea
Hqali ya mtoto kumsusa mama akishachapwa
Ni sawa na mapenzi
Ukishapendwa
Unasahau hata kama ulishafanyiwaga ushenzi
Nakumbuka nilijuta sana kupenda kupenda kusikokua na thamani
Ila hitaji la moyo lalazimisha kurudia zamani
()
Mimi bado nina imani
Ipo siku utanipa thamani
Mimi bado nina imani
Jua me siachani nawe
Na sishindani nawe
Maana upo moyoni ndani
Acha nisote mie
Ila me siachani nawe
Na sishindani nawe
Maana upo moyoni ndani
Wacha nisote mie
Labda juu ya kaburi utanipenda mimi nikiwa sina uhai
Hisia zangu haziheshimiwi najidharau sifai
Heri ya upofu wa macho
Kwa yale nayoyaona
Umeruhusu mboni zangu me kumwaga machozi
Yaani ungejua hisia za mapenzi
Kutesa moyo ila bado hazichoshi
Kupendwa sipendwi najua wazi ila bado silingi
Maana kesho nitaurubuni moyo
Unapendwa na unapenda me meno ila najiona kibogoyo
Kweli penzi donda moyo
()
Mimi bado nina imani
Ipo siku utanipa thamani
Mimi bado nina imani
Jua me siachani nawe
Na sishindani nawe
Maana upo moyoni ndani
Acha nisote mie
Ila me siachani nawe
Na sishindani nawe
Maana upo moyoni ndani
Wacha nisote mie